Compartir
Zawadi ya Ushindi
Ben R. Mtobwa
(Autor)
·
East African Educational Publishers
· Tapa Blanda
Zawadi ya Ushindi - Mtobwa, Ben R.
Sin Stock
Te enviaremos un correo cuando el libro vuelva a estar disponible
Reseña del libro "Zawadi ya Ushindi"
Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao.Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na kikosi chake. Maisha ya Sikamona yalibadilika kabisa baada ya vita hivi. Hata ingawa walifaulu kumkomesha Idd Amin, Sikamona alibaki na makovu mengi yaliyoiharibu sura yake asijione kastahili kuitwa binadamu tena.Ni yapi yatakayotokea watakapokutana na Rusia? Atapewa 'Zawadi ya Ushindi'?
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
Todos los libros de nuestro catálogo son Originales.
El libro está escrito en Swahili .
La encuadernación de esta edición es Tapa Blanda.
✓ Producto agregado correctamente al carro, Ir a Pagar.